• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA KATA ZAPOKELEWA NA MKUTANO WA HALMASHAURI ROBO YA NNE 2024/2025

Posted on: August 11th, 2025

Mwenyekiti wa Mkutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli Bi. Happiness R. Laizer, ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya  Wilaya hiyo,  leo Agost 11, 2025  katika Ukumbi wa Halmashauri hiyo ameongoza Mkutano wenye lengo la kupokea taarifa za utekelezaji wa shughuli mbalimbali zinazotekelezwa katika Kata zao Wilayani humo.

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali katika Kata ya Lolkisale Ndg. Laban Joseph   ambaye ni Afisa Mtendaji wa Kata hiyo (WEO) ameeleza kuwa Kijiji hicho chenye jumla ya Wakazi 9466 Kinajishughulisha na kilimo, ufugaji na Biashara ndogo ndogo.

Aidha, Ndg. Laban Joseph ameomba Mkutano huo wa Halmashauri kukipatia Kijiji hicho Watumishi wawili wa kada za Wanyama pori na Misitu ili kukidhi mahitaji kulingana na upungufu uliopo.

 Sambamba na hilo, Maafisa Watendaji wa Kata za Lolkisale,  Lepurko, Mfereji, Meserani,  Engutoto na Monduli juu wameuomba Mkutano huo wa Halmashauri kuandaa mafunzo ya pamoja kwa mabaraza ya Kata ili kuyawezesha mabaraza hayo kufanya shughuli zake kwa Weledi na ufasaha zaidi kwa Maendeleo ya Halmashauri hiyo.

Bi. Happiness R. Laizer amewataka Watendaji hao kutoa hamasa kubwa katika Kata zao kwa kuanza na viongozi ndani ya maeneo yao na baadae Wananchi ili wajenge vyoo bora na kuvitumia huku akisisitiza Watendaji kusimamia vema ujenzi na ukarabati wa vyoo katika maeneo ya minada ili kulinda Afya za Wananchi.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC GLORIANA AZINDUA MRADI WA MAJI WENYE THAMANI YA MILIONI 126 - MONDULI

    September 15, 2025
  • DC GLORIANA AZINDUA MRADI WA MAJI WENYE THAMANI YA MILIONI 126 - MONDULI

    September 15, 2025
  • KITENGO CHA MIFUGO CHAKABIDHIWA VITENDEA KAZI - MONDULI

    September 15, 2025
  • MONDULI DC YAADHIMISHA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI

    September 13, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli