• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC GLORIANA AZINDUA MRADI WA MAJI WENYE THAMANI YA MILIONI 126 - MONDULI

Posted on: September 15th, 2025

Tusipotunza miundombinu hii ya maji tuliyofadhiliwa na The International Ministry of Jesus,  na Mazingira yanayouzunguka changamoto ya maji haitaisha hivyo tunao wajibu wa kuutunza ili mradi huo utufae kwa sasa na baadae.

Hayo yamesemwa leo Septemba 15, 2025 na Mhe. Gloriana Julius Kimath wakati akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Lemooti katika hafla fupi ya Uzinduzi wa Mradi wa maji uliogharimu jumla ya shilingi milioni 126 kutoka kwa wafadhili hao

Akisoma taarifa ya mradi huo wa maji katika Kijiji cha Lemooti Kata ya Lemooti Ndg. Lucas Munis mmoja wa wasimamizi wa Mradi huo amesema kuwa, mradi huo umegharimu jumla ya Shilingi milioni 126 ambapo shilingi milioni 124 zimetolewa na wafadhili wa The International Ministry of Jesus na shilingi milioni 2 zikichangiwa na Wananchi wa Kijiji hicho na mradi huo utahudumia jumla ya Wakazi 2000 wa Kijiji hicho.

Ndg. Lucas Munis ameeleza kuwa mradi huo wa kisima umekamilika kwa sasa na  unaweza kutoa takriban Lita 4,000 na umefungiwa pump yenye horse power 5.5 kwa ajili ya kusukuma maji.

Aidha, Ndg. Lucas ameeleza changamoto kubwa inayoukabili mradi huo ni ukosefu wa Umeme kwaajili ya  kusambaza miundombinu ya maji hayo kwenye Taasisi na maeneo ya makazi ya watu.

Tusipotunza miundombinu hii ya maji tuliyofadhiliwa na The International Ministry of Jesus,  na Mazingira yanayouzunguka changamoto ya maji haitaisha hivyo tunao wajibu wa kuutunza ili mradi huo utufae kwa sasa na baadae.

Hayo yamesemwa leo Septemba 15, 2025 na Mhe. Gloriana Julius Kimath wakati akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Lemooti katika hafla fupi ya Uzinduzi wa Mradi wa maji uliogharimu jumla ya shilingi milioni 126 kutoka kwa wafadhili hao

Akisoma taarifa ya mradi huo wa maji katika Kijiji cha Lemooti Kata ya Lemooti Ndg. Lucas Munis mmoja wa wasimamizi wa Mradi huo amesema kuwa, mradi huo umegharimu jumla ya Shilingi milioni 126 ambapo shilingi milioni 124 zimetolewa na wafadhili wa The International Ministry of Jesus na shilingi milioni 2 zikichangiwa na Wananchi wa Kijiji hicho na mradi huo utahudumia jumla ya Wakazi 2000 wa Kijiji hicho.

Ndg. Lucas Munis ameeleza kuwa mradi huo wa kisima umekamilika kwa sasa na  unaweza kutoa takriban Lita 4,000 na umefungiwa pump yenye horse power 5.5 kwa ajili ya kusukuma maji.

Aidha, Ndg. Lucas ameeleza changamoto kubwa inayoukabili mradi huo ni ukosefu wa Umeme kwaajili ya  kusambaza miundombinu ya maji hayo kwenye Taasisi na maeneo ya makazi ya watu.

Naye Bi. Happiness R. Laizer Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo amelishukuru  shirika la International Ministry of Jesus kutoka Marekani kwa kufadhili mradi huo ambao unagusa wananchi wa kizazi hiki na vizazi vijavyo; huku akiwataka wananchi kuutunza na kupanda miti kwenye chanzo na maeneo yanayozunguka mradi huo.

Kwa upande wake Bi. Janeth Madee amewashukuru wafadhili kwa kuiona Lemooti kuwa ni moja  kati ya vijiji vyenye uhitaji wa maji nakutufadhili kwani awali tulikuwa na shida kubwa kwetu na Mifugo.

Mhe. Gloriana amewataka wafadhili hao kuendelea kusaidia vijiji vingine Wilayani Monduli kupata maji kwa ndio changamoto kubwaWilayani humo huku akiwasisitiza Wananchi wa Lemooti kujitokeza kwa wingi kushiriki Uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025

Naye Bi. Happiness R. Laizer Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo amelishukuru  shirika la International Ministry of Jesus kutoka Marekani kwa kufadhili mradi huo ambao unagusa wananchi wa kizazi hiki na vizazi vijavyo; huku akiwataka wananchi kuutunza na kupanda miti kwenye chanzo na maeneo yanayozunguka mradi huo.

Kwa upande wake Bi. Janeth Madee amewashukuru wafadhili kwa kuiona Lemooti kuwa ni moja  kati ya vijiji vyenye uhitaji wa maji nakutufadhili kwani awali tulikuwa na shida kubwa kwetu na Mifugo.

Mhe. Gloriana amewataka wafadhili hao kuendelea kusaidia vijiji vingine Wilayani Monduli kupata maji kwa ndio changamoto kubwaWilayani humo huku akiwasisitiza Wananchi wa Lemooti kujitokeza kwa wingi kushiriki Uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC GLORIANA AZINDUA MRADI WA MAJI WENYE THAMANI YA MILIONI 126 - MONDULI

    September 15, 2025
  • DC GLORIANA AZINDUA MRADI WA MAJI WENYE THAMANI YA MILIONI 126 - MONDULI

    September 15, 2025
  • KITENGO CHA MIFUGO CHAKABIDHIWA VITENDEA KAZI - MONDULI

    September 15, 2025
  • MONDULI DC YAADHIMISHA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI

    September 13, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli