• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KITENGO CHA MIFUGO CHAKABIDHIWA VITENDEA KAZI - MONDULI

Posted on: September 15th, 2025

Jukumu letu kama Watumishi ni kutoa huduma kwa wananchi, ukizingatia kwamba Jamii ya Wananchi wa Monduli ni wafugaji hivyo kupata Vitendea kazi hivi vitasaidia sana kuwahudumia wananchi kwa karibu na kwa wakati.

Hayo yamesemwa leo Septemba 15, 2025 na Bi. Happiness R. Laizer Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli katika zoezi rasmi la kukabidhi jumla ya Vitendea kazi 526 ikiwemo vishikwambi 46, Cool box 25, Gunboot pair 15, Overall Pcs 15, Automatic syringe 25, na Needle 400.

Naye Dkt. Yandu Marmo ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwapatia vifaa kwa ajili ya  utambuzi wa chanjo za Mifugo, ambapo jumla ya ng'ombe laki mbili na themanini (280,000), mbuzi na kondoo laki sita (600,000) zinatarajiwa kuchanjwa,  pamoja na  kuku zaidi ya laki tatu 300,000) ambao watachanjwa chanjo ya tatu moja.

Bi. Happiness R. Laizer amehitimisha zoezi hilo kwa kuwaeleza Watumishi hao kuwa wanalo deni la kutoa huduma bora kwa wananchi ili waendelee kuipenda Serikali yao ya awamu ya sita.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC GLORIANA AZINDUA MRADI WA MAJI WENYE THAMANI YA MILIONI 126 - MONDULI

    September 15, 2025
  • DC GLORIANA AZINDUA MRADI WA MAJI WENYE THAMANI YA MILIONI 126 - MONDULI

    September 15, 2025
  • KITENGO CHA MIFUGO CHAKABIDHIWA VITENDEA KAZI - MONDULI

    September 15, 2025
  • MONDULI DC YAADHIMISHA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI

    September 13, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli