• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKUTANO WA HALMASHAURI WAPOKEA TAARIFA ZA.KAMATI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI - MONDULI

Posted on: August 11th, 2025

Mwenyekiti wa Mkutano wa Halmashauri, Halmashauri ya Wilaya ya Monduli Bi. Happiness R. Laizer Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, leo Agost 11, 2025 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri amewaongoza wajumbe wa Mkutano huo kupokea na kujadili kwa kina taarifa za Kamati za Kudumu za halmashauri robo ya nne April Hadi Juni 2024/2025.

Katika Mkutano huo Taarifa za Kamati mbalimbali zikiwemo Kamati shirikishi ya UKIMWI, Elimu, Afya na Maji, Uchumi, Ujenzi na Mazingira pamoja na Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango zimepokelewa na kujadiliwa kwa kina.

Akiwasilisha taarifa ya Kamati ya Fedha, Utawala, na Mipango, Bi. Gwantwa Sema ambaye pia ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Fedha na Uhasibu ameeleza changamoto mbalimbali zilizobainishwa na Kamati hiyo ikiwemo changamoto ya upungufu na ukosefu wa Maji Wilayani humo hasa wakati wa kiangazi huku akiuomba Mkutano huo kuweka mpango wa namna bora ya kushuguulikia changamoto hiyo.

Aidha, Bi. Gwantwa Seme ameeleza suala la Ulinzi wa ardhi ya watu asilia kuwa ni muhimu ili ardhi yao isiuzwe wala kuvamiwa kwa ajili ya urithi wa vizazi vijavyo.

Bi. Happiness R. Laizer, Mwenyekiti wa Mkutano huo amewasisitiza wajumbe kufanya kazi kwa Weledi hasa katika kusimamia vizuri utekelezaji wa miradi ya Maendeleo.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC GLORIANA AZINDUA MRADI WA MAJI WENYE THAMANI YA MILIONI 126 - MONDULI

    September 15, 2025
  • DC GLORIANA AZINDUA MRADI WA MAJI WENYE THAMANI YA MILIONI 126 - MONDULI

    September 15, 2025
  • KITENGO CHA MIFUGO CHAKABIDHIWA VITENDEA KAZI - MONDULI

    September 15, 2025
  • MONDULI DC YAADHIMISHA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI

    September 13, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli