• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

BILIONI 2.4 ZATEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO - MONDULI

Posted on: August 13th, 2025

Nitafanya ufuatiliaji wa mara kwa mara hasa katika suala la  utekelezaji wa miradi ya Maendeleo na ukusanyaji wa  mapato ndani ya Wilaya yetu, kwa Lengo la kusaidia Halmashauri kuhakikisha inakamilisha miradi ya maendeleo kwa wakati pia kufikia lengo la ukusanyaji mapato tuliyojiwekea.

Hayo yamesemwa leo Agost 13, 2025 na Mhe. Gloriana J. Kimath Mkuu wa Wilaya ya Monduli katika kikao kazi na Wakuu wa Divisheni na Vitengo kilichofanyika katika Ukumbi mdogo wa mikutano wa Halmashauri hiyo, chenye lengo la kupokea na kujadili taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo Wilayani humo.

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa miradi yenye jumla ya Shilingi Bilioni 2.4inayotekelezwa Wilayani humo kupitia Serikali kuu, Mapato ya ndani, BOOST, WASH,TASAF, LANES na Mfuko wa Jimbo;Ndg. Abraham Msofe kwa niaba ya Mkuu wa Divisheni ya Mipango na Uratibu Ndg. Lucas H. Daud amesema

"Miradi ya maendeleo kwa mwaka wa fedha 2024/2025 ambayo inaendelea kukamilishwa ikiwemo ujenzi wa zahanati, mabweni, madarasa na vyoo haikukamilika kwa wakati kwa sababu ya  kuchelewa kwa fedha za ukamilishaji wake na nyingine kufika mwishoni mwa mwaka huo wa fedha na  changamoto ya wazabuni. Ambapo kwa sasa inaendelea kukamilishwa na itakamilika kwa wakati. " amewasilisha Ndg. Msofe

Naye Bi. Happiness R. Laizer Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo ameeleza kuwa,kwa suala la wazabuni baada ya kubaini changamoto tulikaa nao nakuwahamasisha kuomba zabuni kupitia mfumo wa NEST pamoja na kuwaeleza mikakati iliyowekwa kuhakikisha wanaodai wanalipwa kwa Bajeti iliyotengwa ili kuweka uaminifu kwa wazabuni hao kuendelea na kazi.

Mhe. Gloriana ametoa maelekezo kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo kutoa Elimu kwa mara nyingine kwa Wazabuni hao ili wawe na Elimu ya kutosha ya namna ya kuomba zabuni kwenye mfumo wa manunuzi wa NEST ili wawe na uelewa zaidi ili kupunguza changamoto ya uchelewashaji na ukamilishaji wa miradi ya maendeleo Wilayani humo.

Sambamba na hayo Bi. Gloriana ameelekeza miradi kwa mwaka wa fedha 2025/2026 kutekeleza kwa Weledi na kwa kuzingatia ubora unaokubakika na ikamilike kwa wakati.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC GLORIANA AZINDUA MRADI WA MAJI WENYE THAMANI YA MILIONI 126 - MONDULI

    September 15, 2025
  • DC GLORIANA AZINDUA MRADI WA MAJI WENYE THAMANI YA MILIONI 126 - MONDULI

    September 15, 2025
  • KITENGO CHA MIFUGO CHAKABIDHIWA VITENDEA KAZI - MONDULI

    September 15, 2025
  • MONDULI DC YAADHIMISHA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI

    September 13, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli