• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKUTANO WA 12 WA THS MONDULI DC YASHIRIKI

Posted on: October 1st, 2025

Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli Dkt.George Kasibante akiambatana na Mganga Mfawidhi Dkt. Godfrey Kahamba na Roman Living Minja ambaye ni Afisa afya na pia Mwakilishi wa Primary Health Care Council Initiative and innovation Wilayani humo; wameshiriki Mkutano wa 12 wa  Mwaka 2025 Tanzania Health Summit (THS) unaofanyika Jijini Dar es salaam kuanzia leo tarehe 1 hadi 3, 2025 katika  ukumbi wa Kimataifa wa Nyerere (JNICC ).

Ambapo mkutano huo una lengo la  kujadili  juu ya matumizi sahihi ya Takwimu na teknolojia ili kuongeza kasi  ya upatikaniaji wa huduma za afya kwa watu wote Nchini kwa mstakabali wa afya njema ya Taifa na Wananchi kwa ujumla.

Mkutano huo ulioandaliwa na Tanzania Health Summit (THS) kwa kushirikiana na Wizara Afya  na Wadau mbalimbali katika sekta hiyo, umekutanisha washiriki kutoka Wizara ya Afya, wakiwemo Makatibu, watu Mashuhuri, Mabalozi, Mashirika ya Maendeleo ya Afya Duniani (WHO), Mashirika ya Umoja wa Mataifa (UNCEF) , UNFPA, Benki kuu ya Dunia, Viongozi kutoka Asasi zisizo za kiserikali ndani na nje ya Nchi pamoja na washiriki zaidi ya elfu mbili na miatano.

Katika Mkutano huo mkubwa wa Kitaifa na Kimataifa, Ndg. Roman Living  Minja Afisa Afya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli  ameiwakilisha vyema  Halmashauri hiyo Kwa kuibuka Mshindi wa kwanza katika category ya Ntuli A. Kapologwe Primary Health Care Implementor Award  na kutwaa  Tuzo pamoja na Medali katika kutambua Umahiri, Kujitolea, Ubunifu na Uongozi katika kuimarisha Mfumo wa huduma za Afya ya Msingi kwa ajili ya Ustawi bora wa Jamii.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MAKARANI WAONGOZAJI WASISITIZWA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI NA MAELEKEZO OKTOBA 29, 2025

    October 25, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA SHUGHULI ZA LISHE ROBO YA KWANZA 2925/2026

    October 23, 2025
  • MAAFISA USTAWI WA JAMII WAJENGEWA UWEZO - MONDULI

    October 15, 2025
  • CMT MONDULI YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA BILIONI 1.3

    October 06, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AERO88
  • YAMITOTO
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • YAMITOTO
  • Toto Togel
  • AXL777
  • AERO88
  • AXL777
  • Toto Slot
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto Online
  • KOI200
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • UFABET
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200