• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MAAFISA USTAWI WA JAMII WAJENGEWA UWEZO - MONDULI

Posted on: October 15th, 2025


Ninaamini, mafunzo haya ya siku tatu mliyoyapata yatawawezesha kutimiza majukumu na wajibu wenu kwa Weledi, usahihi na kwa kuzingatia Sheria, Kanuni, taratibu na maadili ya Utumishi wa umma.


Hayo yamesemwa leo Oktoba 15, 2025 na Bi. Pamela Ijumba Mkuu wa Divisheni ya Kilimo na Mifugo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli Bi. Happiness Raphael Laizer; alipokuwa akifunga rasmi mafunzo ya siku tatu ya kuwajengea uwezo Maafisa Ustawi wa Jamii Wilaya ya Monduli yaliyofanyika katika Ukumbi wa Naramatisho Women Centre uliopo Kata ya Makuyuni Wilayani Monduli.



Naye Dkt. George Kasibante ambaye ni Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli amewaeleza Maafisa Ustawi wa Jamii hao, umuhimu wa kutoa taarifa sahihi, kwa wakati na kwa kuzingatia makundi sita muhimu ndani ya Jamii wakiwemo Wanawake, watoto na watu wenye ulemavu.

Bi. Pamela ametoa shukrani kwa Shirika la Pastorate Women Council (PWC) kupitia Bi. Nalemuta Moisan ambaye ni Mratibu wa haki na uongozi wa wanawake wa Shirika la hilo kwa kuendelea kuisaidia Jamii ya Wana Monduli.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MAKARANI WAONGOZAJI WASISITIZWA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI NA MAELEKEZO OKTOBA 29, 2025

    October 25, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA SHUGHULI ZA LISHE ROBO YA KWANZA 2925/2026

    October 23, 2025
  • MAAFISA USTAWI WA JAMII WAJENGEWA UWEZO - MONDULI

    October 15, 2025
  • CMT MONDULI YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA BILIONI 1.3

    October 06, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AERO88
  • YAMITOTO
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • YAMITOTO
  • Toto Togel
  • AXL777
  • AERO88
  • AXL777
  • Toto Slot
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto Online
  • KOI200
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • UFABET
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200