• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

CMT MONDULI YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA BILIONI 1.3

Posted on: October 6th, 2025

Timu ya Menejimenti (CMT) ya  Halmashauri ya Wilaya ya Monduli ikiongozwa na Bi. Happiness Raphael Laizer - Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, leo Oktoba 6, 2025 imetembelea na kukagua jumla ya miradi ya maendeleo 17; yenye thamani ya  jumla ya Tsh. Bilioni 1.3 inayotekelezwa Wilayani humo kwa fedha kutoka Serikali kuu, Wahisani ( BOOST, SWASH, EP4R na LANES ), nguvu za wananchi na mapato ya ndanI.

Aidha, Timu hiyo ya CMT kwa makundi, imeweza kutembelea na kukagua miradi yote hiyo inatekelezwa katika Kata za Sepeko, Makuyuni, Mswakini, Esilalei, Lolkisale, Moita, Monduli juu, Naalarami na Engutoto; ambapo miradi IPO katika hatua mbalimbali kama vile hatua ya Msingi, hatua ya kupandisha, hatua ya kufunga lenta na hatua ya umaliziaji.

Akiwasilisha taarifa ya ujenzi wa Shule Mpya ya Msingi Lowasa Mwl. Sayuni A. Tarimo Mkuu wa Shule ya Sekondari Lowasa amesema kuwa mradi huo wa ujenzi wa Shule mpya ya Msingi Lowasa unajumuisha ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa ya awali na  matundu sita ya vyoo sambamba na shule ya Msingi ya mkondo mmoja yenye vyumba sita vya madarasa na vyoo matundu kumi, jengo la Utawala na kichomea taka  ambapo ujenzi umeanza rasmi Septemba 4, 2025 na unatarajiwa kukamilika Desemba 31, 2025.

Kwa upande wake Ndg. Jofrey Nditolo Mwambasi, Kaimu Mkuu wa Divisheni ya  Mipango na Uratibu ameshukuru kwa ushirikiano kutoka kwa Watumiaji kwa kila mradi katika kuhakikisha miradi inasimamiwa kwa usahihi na kwamba itakamilika kwa wakati.

Kufuatia ukaguzi huo wa miradi, Bi. Happiness Raphael Laizer amewataka wasimamizi wa miradi kwa kila mradi,  kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati na kwa ubora unaokubarika.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MAKARANI WAONGOZAJI WASISITIZWA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI NA MAELEKEZO OKTOBA 29, 2025

    October 25, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA SHUGHULI ZA LISHE ROBO YA KWANZA 2925/2026

    October 23, 2025
  • MAAFISA USTAWI WA JAMII WAJENGEWA UWEZO - MONDULI

    October 15, 2025
  • CMT MONDULI YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA BILIONI 1.3

    October 06, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AERO88
  • YAMITOTO
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • YAMITOTO
  • Toto Togel
  • AXL777
  • AERO88
  • AXL777
  • Toto Slot
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto Online
  • KOI200
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • UFABET
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200