• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA WILAYA YA MONDULI MHE.ACP EDWARD JOTHAM BALELE APOKELEWA KWA KISHINDO MONDULI.

Posted on: June 26th, 2020

 Mkuu wa wilaya Mpya wa  Monduli amepokelewa ofisini kwake  na Wakuu wa Idara, Watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Monduli, Wachungaji na watu mbalimbali. Mh Dc.Acp Edward Jotham Balele amefika kutekeleza Majukumu yake ya Ukuu wa Wilaya ya Monduli kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Mh.Iddi Kimanta ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.

Aliekuwa Mkuu wa Wilaya Monduli ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mh.Iddi Kimanta amekabidhi ofisi kwa Dc Mteule Mh. Acp.Jotham Balele ambaye ni Mkuu mpya  wa wilaya ya Monduli. Mhe. DC Balele ameahidi kumpa ushirikiano Mkuu wa mkoa Arusha na pia Kuwapa ushirikiano watumishi wa idara zote.

Mkuu wa wilaya amenza kazi Mara Moja kwa Kuendelea kusikiliza Wananchi na kutatua changamoto zao wanaofika ofisini kwake.

Mwl. Richard Ngoda

Afisa Michezo na Utamaduni

Monduli

Matangazo

  • MACHAGUO YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • MAAGIZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 (JOINING INSTRUCTIONS) December 18, 2020
  • KUITWA KWENYE USAILI March 13, 2020
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO VEO III June 17, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC KIMANTA ASISITIZA MAMBO 3 AKIWA MONDULI.

    June 26, 2020
  • MKUU WA WILAYA YA MONDULI MHE.ACP EDWARD JOTHAM BALELE APOKELEWA KWA KISHINDO MONDULI.

    June 26, 2020
  • MONDULI YAPAMBANUA JINSI ILIVYOJIPANGA KUKABILIANA NA COVID19

    April 07, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGIA NA KIDATO CHA KWANZA 2020 MONDULI

    December 09, 2019
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

WANAWAKE WANUFAIKA NA MAMILIONI YA FEDHA KUTOKA HALMASHAURI- MONDULI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli